Dalali
演唱:Nego Let Me DoDady yuko Sweden, mimi naenda Holand
Dady yuko Sweden, mimi naenda Holand
Me natamani hata asingeniangalia mmmh
Imeniathiri mpaka nimezama mazima am in love
Kumbe yeye tanali alishika, me mwenzake nkazama mazima
Si akanizamisha mutima, nimezama mazima mazima
Na rangi yake ya chocolate, najichekesha ye hacheki
Inanifanya nakonda, moyoni mwangu nna donda
Uzuri wake hauelezeki, nami ndo nilichompendea
One in a million madollar, one in a miiiiii yeiyeeh
Dalali, dalalia nidalalie
Na akikataa, ng’ang’ania mng’ang’anie nampenda mieeh
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Mmmh mmh, mmmh yeiiih yeah
Maboo maboo, umenikuta ndo tarehe hiziii
Ananipa tabu ninakutuma ukamwambie hivii
Sinenepi kula sili nimejaa stress nateseka na haya mapenzi iiih
Haelezeki, nimejaribu haelezeki fanya mambo yawe mepesi iiih
Na rangi yake ya chocolate, najichekesha ye hacheki
Inanifanya nakonda, moyoni mwangu nna donda
Uzuri wake hauelezeki, nami ndo nilichompendea
One in a million madollar, one in a miiiiii yeiyeeh
Dalali, dalalia nidalalie
Na akikataa, ng’ang’ania mng’ang’anie nampenda mieeh
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Dady yuko Sweden, mimi naenda Holand
Me natamani hata asingeniangalia mmmh
Imeniathiri mpaka nimezama mazima am in love
Kumbe yeye tanali alishika, me mwenzake nkazama mazima
Si akanizamisha mutima, nimezama mazima mazima
Na rangi yake ya chocolate, najichekesha ye hacheki
Inanifanya nakonda, moyoni mwangu nna donda
Uzuri wake hauelezeki, nami ndo nilichompendea
One in a million madollar, one in a miiiiii yeiyeeh
Dalali, dalalia nidalalie
Na akikataa, ng’ang’ania mng’ang’anie nampenda mieeh
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Mmmh mmh, mmmh yeiiih yeah
Maboo maboo, umenikuta ndo tarehe hiziii
Ananipa tabu ninakutuma ukamwambie hivii
Sinenepi kula sili nimejaa stress nateseka na haya mapenzi iiih
Haelezeki, nimejaribu haelezeki fanya mambo yawe mepesi iiih
Na rangi yake ya chocolate, najichekesha ye hacheki
Inanifanya nakonda, moyoni mwangu nna donda
Uzuri wake hauelezeki, nami ndo nilichompendea
One in a million madollar, one in a miiiiii yeiyeeh
Dalali, dalalia nidalalie
Na akikataa, ng’ang’ania mng’ang’anie nampenda mieeh
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah
Iiiih iiiih, nana na nana nah nah