Pawa
演唱:MbossoPawa - Mbosso
Lyrics by:Mbwana Yusuph Kilungi
Composed by:Mbosso
Produced by:S2kizzy
S2Kizzy baby
Kamusi namaliza kurasa kukusifia
Matusi naiona basata wakinifungia
Theluthi hizi raha ninazopata mia fil mia ah
Mjusi ukuta wa plasta na uparamia
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe-yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear
Pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Nilifeli secondary kwendaga chuo
Ila kufeli penzi lako sina hilo chaguo
Yeremia mstari nifunue ufunuo oh
Nikupambe kwa matari mwilini iwe nguo
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe-yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear
Pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Ka Mix Lizer
Lyrics by:Mbwana Yusuph Kilungi
Composed by:Mbosso
Produced by:S2kizzy
S2Kizzy baby
Kamusi namaliza kurasa kukusifia
Matusi naiona basata wakinifungia
Theluthi hizi raha ninazopata mia fil mia ah
Mjusi ukuta wa plasta na uparamia
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe-yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear
Pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Nilifeli secondary kwendaga chuo
Ila kufeli penzi lako sina hilo chaguo
Yeremia mstari nifunue ufunuo oh
Nikupambe kwa matari mwilini iwe nguo
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe-yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear
Pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Ka Mix Lizer